Ad image

Mzee Mwinyi apelekwa Hospitali Kwa kubanwa Kifua.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua na anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari. Taarifa iliyotolewa na msemaji wa familia ya Mzee Mwinyi, Abdullah Ali Mwinyi  inaeleza kuwa kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa

Togoro Media Togoro Media

Askari Mgambo auawa Kilimanjaro, Watu wanane wanashikiliwa na Polisi.

Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu wanane kwa mahojiano kuhusiana na tukio la mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la Kotex (40), Askari Mgambo aliyekuwa akisimamia utozaji wa ushuru kituo cha bajaji Mbuyuni, Februari 21, 2024. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Simon Maigwa imesema tukio hilo lilitokea mtaa

Togoro Media Togoro Media

Harmonize atimiza umri wa miaka 30, aahidi kubadilika.

Leo Machi 15, 2024 msanii wa Bongo flava nchini, Harmonize ametimiza umri wa miaka 30. Katika ukurasa wake wa Instagram Harmonize ameandika... "Turn to 30 years of my life!! I just wanna thank everyone for supporting my music journey 8 years in the game and still number one, usitegemee kuniona nikifanya the same, nimechagua kuyakataa mabaya na kuyaendeleza mema. Naamini

Togoro Media Togoro Media

Jengo refu zaidi Duniani kujengwa Saudi Arabia.

Ujenzi wa jengo refu zaidi duniani huko nchini Saudi Arabia utakamilika hivi karibuni. Baada ya kukamilika, jengo hili litavunja rekodi ya majengo mengine marefu zaidi duniani kwa tofauti kubwa. "Jeddah

Togoro Media Togoro Media

Video Director Khalfani afariki Dunia.

Aliyekuwa Mtayarishaji wa Video za Muziki wa Bongo Flava Nchini, Khalfani Khalimandro

Togoro Media Togoro Media

Infinix Note 40 yatambulishwa rasmi Tanzania.

Kampuni ya simu za mkononi ya Infinix Mobile Tanzania imezindua rasmi toleo

Togoro Media Togoro Media

Makamu wa Rais akasirika, atangaza kuacha kazi.

Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ametangaza kuacha kazi endapo

Togoro Media Togoro Media

Wawili Wahukumiwa Maisha Kwa Kubaka

Mahakama ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imewahukumu Idd Abubakari Waitara (20)

Togoro Media Togoro Media

Christiano Ronaldo hits 1 Billion followers on his social media.

A big history made by a Portuguese player, Christiano Ronaldo today and

Togoro Media Togoro Media

Rainford Kalaba hajafa, yuko ICU, Madaktari wathibitisha.

Taarifa iliyosambaa awali kuwa Mchezaji Rainford Kalaba amefariki dunia baada ya kupata

Togoro Media Togoro Media

Mistari: Sitorudi – Q Jay ft Joh Makini

Mi sina makosa ila ni weweKwani ulivyofanya wewe wajuaUlinifanya mi nikonde niumie

Togoro Media Togoro Media

Mussa Azzan Zungu Aapishwa Kuwa Spika Wa Bunge.

Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo Jumanne ya Novemba 11, 2025 ameapishwa rasmi

Togoro Media Togoro Media

Fashionable Summer Accessories to Dress Up Your Travel Look

The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.

Togoro Media Togoro Media