Hali halisi ilivyo katika mji wa Goma baada ya kuzuka kwa ghasia na mapigano ambayo yamewasababisha watu zaidi ya milioni saba kuwa wakimbizi wa ndani na kuhama makazi yao kwa sababu ya vita vya mara kwa mara. Waasi kutoka kundi la M23 ambalo linaongozwa na jamii ya AbaTutsi wamefunga barabara mbili kuu zinazoingia na kutoka Goma kwa upande wa Kaskazini…
Katika usiku uliokuwa umejaa presha, historia na matumaini, Mamelodi Sundowns wameandika ukurasa mpya wa mafanikio kwa kutwaa ubingwa wa CAF Champions League 2026, wakithibitisha ubora wao kama moja ya vilabu vikubwa barani Afrika. Ushindi huu haukuja kirahisi. Sundowns waliingia kwenye mchezo wa fainali ya mkondo wa pili dhidi ya AS FAR wakiwa na faida nyembamba ya bao 1–0 kutoka mchezo…
Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la shule ya Msingi Ghati Memorial, iliyopo Mkoani Arusha, kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji. Ajali hiyo imetokea katika mitaa ya dampo Sinoni, Kata ya Muriet huku chanzo kikidaiwa kuwa ni dereva wa gari hilo kushindwa kulidhibiti, kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua na anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa…
Baada ya sintofahamu ya muda mrefu juu ya kuvunjika kwa ndoa ya…
Taarifa zilizotufikia jioni ya leo ni kwamba Mchekeshaji na Mshereheshaji maarufu nchini,…
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Wilson Mahera…
Mlipuko mkubwa wa gesi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, umesababisha vifo…
Ikiwa leo ndo siku ya uzinduzi wa project mpya ya Msanii Juma…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za…
Togoro Media inakusogezea vichwa vya habari katika magazeti ya leo January 20.
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
