Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkurugenzi wa Emf pamoja na TVE majizzo ameandika ujumbe huu… "Kwa moyo mzito na machozi mengi, nasikitika kutangaza kifo cha rafiki, kaka, aliyekuwa msimamizi wa ndoa yangu, na mfanyakazi mwenzangu aliyeitumikia EFM na TVE kwa nguvu zake zote, ndugu yangu Ssebo". Ssebo amefariki usiku huu katika hospitali ya taifa Muhimbili. Kwa sasa mturuhusu kuaanda…
Rais wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi amefariki Dunia leo jioni. ‘’Hayati mzee Ali Hassan Mwinyi, amekua akipatiwa matibabu tangu Novemba mwaka jana nchini Uingereza, na baadaye kurejea nchini alipokua akiendelea na matibabu katika hospitali ya Mzena, hadi umauti ulipomfika’’ Amesema Rais Samia. Aidha Rais Samia ameongeza kuwa Tanzania itaombeleza kwa siku saba.…
Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, leo Aprili 9, 2026 amewaapisha Wabunge wateule Mhe. Angela Kizigha pamoja na Mhe. Dkt. Eveline Wilbard Munisi Bungeni jijini Dodoma. Hapo wali Mhe. Angela Kizigha, alikuwa mmoja wa wasaidizi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Dkt. Eveline Wilbard Munisi, alikuwa Katibu Mkuu wa…
Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa Jiji la Dar es Salaam toka shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili hadi kufikia shilingi 4115 kwa lita mwezi Mei 2026, kulingana na…
Watu wapatao 20 wanahofiwa kuwa ndani ya maji baada ya daraja la…
Msanii wa Bongo Fleva Luludiva leo Machi 23 anatimiza miaka 29 tangu…
Kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Mzee Edwin Isaac Mbilinyi…
Injini ya Toyota 1G‑BEAMS ni mojawapo ya injini maarufu za familia ya…
Mgodi uliovumbuliwa na Mkaazi wa Kitongoji cha Butasya Kata ya Butiama Wilaya…
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wapatao 3,000 katika Mgodi wa Kinyambwiga…
Mwanafunzi mmoja amepoteza maisha na saba hawajulikani walipo baada ya gari la…
Mchekeshaji maarufu nchini, Pembe amefariki Dunia leo katika Hospitali ya Temeke alipokuwa…
The summer is a fun and energetic time of year, and a favorite time to travel. It’s also the perfect time to wear your boldest and brightest clothes, try new trends, and take risks.
Sign in to your account
